Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka bima ya gari?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba bima imekatazwa kwa gari na mengineyo. Ni jambo halikubaliki Kishari´ah. Kwa sababu ni katika aina ya kula mali za watu kwa batili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 15/09/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka bima ya gari?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba bima imekatazwa kwa gari na mengineyo. Ni jambo halikubaliki Kishari´ah. Kwa sababu ni katika aina ya kula mali za watu kwa batili.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 15/09/2018
https://firqatunnajia.com/bima-ni-kula-mali-za-watu-kwa-batili/