Swali: Nimetoa Khutbah kuhusu kuwatendea wema wazazi. Je, ni sawa kwangu kusoma Aayah ambazo zinaonesha uwajibu wa kuwatendea wema wakati wa Swalah?
Jibu: Hapana. Usifanye kisomo cha Swalah kikawa kinahusiana na maudhui ya Khutbah. Hili ni jambo limezushwa na baadhi ya vijana. Usifanye kisomo cha Swalah kikawa kinahusiana na maudhui ya Khutbah. Ukiwa na wepesi Aayah hizo zisome wakati wa Khutbah na sio wakati wa Swalah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Nimetoa Khutbah kuhusu kuwatendea wema wazazi. Je, ni sawa kwangu kusoma Aayah ambazo zinaonesha uwajibu wa kuwatendea wema wakati wa Swalah?
Jibu: Hapana. Usifanye kisomo cha Swalah kikawa kinahusiana na maudhui ya Khutbah. Hili ni jambo limezushwa na baadhi ya vijana. Usifanye kisomo cha Swalah kikawa kinahusiana na maudhui ya Khutbah. Ukiwa na wepesi Aayah hizo zisome wakati wa Khutbah na sio wakati wa Swalah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/bidah-iliyozushwa-na-vijana-siku-ya-ijumaa/