Swali: Ni ipi hukumu benki kuninunulia ardhi kisha wakaniuzia ardhi hiyo?
Jibu: Ikiwa benki watanunua ardhi, wakaimiliki na kubaki nayo, inafaa kwao wakakuuzia nayo. Lakini kitendo cha wao kukununulia nayo kisha ukalipa thamani yake na bei ya ziada, huo ni mkopo. Ziada unayolipa katika hali hiyo ni ribaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 13/04/2021
Swali: Ni ipi hukumu benki kuninunulia ardhi kisha wakaniuzia ardhi hiyo?
Jibu: Ikiwa benki watanunua ardhi, wakaimiliki na kubaki nayo, inafaa kwao wakakuuzia nayo. Lakini kitendo cha wao kukununulia nayo kisha ukalipa thamani yake na bei ya ziada, huo ni mkopo. Ziada unayolipa katika hali hiyo ni ribaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 13/04/2021
https://firqatunnajia.com/benki-inakununulia-ardhi-baadaye-wanakuuzia-nayo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)