Swali: Inajuzu kwa anayehirimia kuvaa barakoa kwa ajili ya kujikinga na maradhi?

Jibu: Hakuna neno muda wa kuwa hafuniki kichwa chake. Kufunika mdomo tu hakuna neno.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
  • Imechapishwa: 31/01/2020