Swali: Ni ipi hukumu Khatwiyb kuegemea juu ya bakora wakati wa Khutbah?
Jibu: Akiihitajia kwa sababu ya udhaifu ni Sunnah kwa sababu Sunnah ni kutoa Khtubah kwa kusimama. Kitu kinachomsaidia mtu juu ya Sunnah nacho ni Sunnah. Ama kukiwa hakuna haja ya kuegemea juu ya bakora basi hapana haja ya mtu kufanya hivo[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/bakora-wakati-wa-khutbah-kwa-mujibu-wa-al-albaaniy/
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/95)
- Imechapishwa: 27/01/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket