Swali: Je, ni Sunnah kwa Khatwiyb kuegemea juu ya bakora?
Jibu: Hapana, sio Sunnah. Ikiwa anahitajia bakora kila wakati anapotembea na anapopanda juu na kukhutubu, hakuna neno. Hata hivyo sio Sunnah ikiwa atafanya hivo kwa kukusudia.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (325)
Swali: Je, ni Sunnah kwa Khatwiyb kuegemea juu ya bakora?
Jibu: Hapana, sio Sunnah. Ikiwa anahitajia bakora kila wakati anapotembea na anapopanda juu na kukhutubu, hakuna neno. Hata hivyo sio Sunnah ikiwa atafanya hivo kwa kukusudia.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (325)
https://firqatunnajia.com/bakora-wakati-wa-khutbah-kwa-mujibu-wa-al-albaaniy/