Swali: Mwanaume atapooa mwanamke baba wa mume ni Mahram kwa mama yake na mke?
Jibu: Hapana. Baba wa mume sio Mahram kwa mama wa mke. Mke wa mtoto wake ndio atakuwa Mahram wake.
“… [pia mmeharamishiwa] wake wa watoto wenu… “ (04:23)
Ama mama yake [mke] yuko mbali na baba wa mume. Yeye ni ajinabi. Vilevile mama wa mke anakuwa ni Mahram wa mume wa msichana wake. Anakuwa ni Mahram wa mume wa msichana wake.
“… na mama wa wake zenu.” (04:23)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
Swali: Mwanaume atapooa mwanamke baba wa mume ni Mahram kwa mama yake na mke?
Jibu: Hapana. Baba wa mume sio Mahram kwa mama wa mke. Mke wa mtoto wake ndio atakuwa Mahram wake.
“… [pia mmeharamishiwa] wake wa watoto wenu… “ (04:23)
Ama mama yake [mke] yuko mbali na baba wa mume. Yeye ni ajinabi. Vilevile mama wa mke anakuwa ni Mahram wa mume wa msichana wake. Anakuwa ni Mahram wa mume wa msichana wake.
“… na mama wa wake zenu.” (04:23)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/baba-wa-mume-ni-mahram-kwa-mama-wa-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)