Swali: Kuna mtu ni mfanya kazi ambaye anafanya kazi nje ya nchi yake mbali na wao. Mwisho wa Ramadhaan alipotaka kwenda kazini kwake akamuwakilisha mtoto wake ili yeye ndiye amtolee Zakaat-ul-Fitwr na awatolee vilevile wengine. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kwa mtu kuwawakilisha watoto wake wamtolee Zakaat-ul-Fitwr katika wakati wake kwa sababu ya yeye kwenda katika mji mwingine kwa ajili ya kazi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/262)
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Kuna mtu ni mfanya kazi ambaye anafanya kazi nje ya nchi yake mbali na wao. Mwisho wa Ramadhaan alipotaka kwenda kazini kwake akamuwakilisha mtoto wake ili yeye ndiye amtolee Zakaat-ul-Fitwr na awatolee vilevile wengine. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kwa mtu kuwawakilisha watoto wake wamtolee Zakaat-ul-Fitwr katika wakati wake kwa sababu ya yeye kwenda katika mji mwingine kwa ajili ya kazi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/262)
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/baba-aliyesafiri-anamuwakilisha-mwanawe-kutoa-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)