Kijana wa Kiislamu anapaswa kutahadhari nao na asome mfumo sahihi wenye kuwakilishwa katika kitabu:
1- “ash-Shariy´ah” cha al-Aajjurriy.
2- “as-Sunnah” cha al-Khallaal.
3- “Sharh Usuwl-il-I´tiqaad Ahl-us-Sunnah” cha al-Laalakaaiy.
4- “al-Ibaanah” cha Ibn Battwah
5- Na vinginevyo.
Vitabu hivi ndivyo vinavyowakilisha Manhaj ya Salaf na sio vitabu vya Sayyid Qutwub, vitabu vya upotevu, vitabu vya watu wa Bid´ah, vitabu vya Rawaafidhw na vitabu vya Khawaarij.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26874
- Imechapishwa: 06/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)