Kijana wa Kiislamu anapaswa kutahadhari nao na asome mfumo sahihi wenye kuwakilishwa katika kitabu:

1- “ash-Shariy´ah” cha al-Aajjurriy.

2- “as-Sunnah” cha al-Khallaal.

3- “Sharh Usuwl-il-I´tiqaad Ahl-us-Sunnah” cha al-Laalakaaiy.

4- “al-Ibaanah” cha Ibn Battwah

5- Na vinginevyo.

Vitabu hivi ndivyo vinavyowakilisha Manhaj ya Salaf na sio vitabu vya Sayyid Qutwub, vitabu vya upotevu, vitabu vya watu wa Bid´ah, vitabu vya Rawaafidhw na vitabu vya Khawaarij.

  • Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26874
  • Imechapishwa: 06/09/2020