Swali: Hadiyth iliotangulia:
“Watakoma kufanya hivo au yatapofolewa macho yao.”
inabainisha kuwa inafaa kutazama mbele ya mswaliji?
Jibu: Kunapohitajika kufanya hivo.
Swali: Swalah inabatilika kwa kutazama juu?
Jibu: Hapana, haibatiliki. Hata hivyo analazimika kutubia kutokana na hilo. Haijuzu kwake kufanya hivo.
Swali: Hapa amesema:
“Akiwa mbele ya Ka´bah ni bora kuitazama yenyewe kuliko kutazama mahali pa kusujudia.”?
Jibu: Sijui kuthibiti kwa jambo hilo. Sunnah ni kuinamisha macho na unyenyekevu.
Swali: Makatazo si yanapelekea uharibikaji?
Jibu: Hapana, makatazo ya kuinua macho hayaharibu swalah. Hata hivyo imekatazwa kuinua macho.
Swali: Matishio si yanafahamisha kuharibika kwa swalah?
Jibu: Ni matishio ya kupofolewa macho. Tunamuomba Allaah usalama.
Swali: Je, imepokelewa jambo linalojulisha kuwa inatakiwa kutazama mahali pa kusujudia?
Jibu: Udhahiri ni kwamba ni jambo limechukuliwa kutoka katika yale maamrisho ya kunyenyekea na kutoinua macho. Vinginevyo ni jambo hatujafahamishwa kutoka katika maneno ya wanazuoni.
Swali: Je, swalah inasihi, licha ya kwamba inachukiza, ikiwa mtu anainua macho yake juu?
Jibu: Hiki ndicho kinadhihiri. Swalah inasihi kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuamrisha kuirudia na wala hakusema kuwa imebatilika. Alichowafanya ni kuwakataza tu kuinua macho yao.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23755/حكم-رفع-البصر-الى-السماء-اثناء-الصلاة
- Imechapishwa: 23/04/2024
Swali: Hadiyth iliotangulia:
“Watakoma kufanya hivo au yatapofolewa macho yao.”
inabainisha kuwa inafaa kutazama mbele ya mswaliji?
Jibu: Kunapohitajika kufanya hivo.
Swali: Swalah inabatilika kwa kutazama juu?
Jibu: Hapana, haibatiliki. Hata hivyo analazimika kutubia kutokana na hilo. Haijuzu kwake kufanya hivo.
Swali: Hapa amesema:
“Akiwa mbele ya Ka´bah ni bora kuitazama yenyewe kuliko kutazama mahali pa kusujudia.”?
Jibu: Sijui kuthibiti kwa jambo hilo. Sunnah ni kuinamisha macho na unyenyekevu.
Swali: Makatazo si yanapelekea uharibikaji?
Jibu: Hapana, makatazo ya kuinua macho hayaharibu swalah. Hata hivyo imekatazwa kuinua macho.
Swali: Matishio si yanafahamisha kuharibika kwa swalah?
Jibu: Ni matishio ya kupofolewa macho. Tunamuomba Allaah usalama.
Swali: Je, imepokelewa jambo linalojulisha kuwa inatakiwa kutazama mahali pa kusujudia?
Jibu: Udhahiri ni kwamba ni jambo limechukuliwa kutoka katika yale maamrisho ya kunyenyekea na kutoinua macho. Vinginevyo ni jambo hatujafahamishwa kutoka katika maneno ya wanazuoni.
Swali: Je, swalah inasihi, licha ya kwamba inachukiza, ikiwa mtu anainua macho yake juu?
Jibu: Hiki ndicho kinadhihiri. Swalah inasihi kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuamrisha kuirudia na wala hakusema kuwa imebatilika. Alichowafanya ni kuwakataza tu kuinua macho yao.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23755/حكم-رفع-البصر-الى-السماء-اثناء-الصلاة
Imechapishwa: 23/04/2024
https://firqatunnajia.com/baadhi-ya-maswali-kuhusu-uinuaji-wa-macho-juu-wakati-wa-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)