Swali: Je, ipo tofauti katika kutangamana na wazushi ambaye amezusha kwa sababu ya kuelewa kimakosa na mzushi ambaye amezusha kwa sababu ya kufuata matamanio yake?
Jibu: Pasi na kujali mzushi amezusha kwa sababu ya kufahamu kimakosa na akadhani kuwa alivyoelewa ndio haki au hakuelewa kimakosa bali yeye anafuata tu kibubusa, ni lazima mtu amtambulishe mfasiri huyu kuwa amekosea. Akishatambulishwa kosa lake na akakataa kujirejea, basi atazingatiwa kuwa ni mwenye kunga´ng´ania Bid´ah yake. Kwa ajili hiyo itatakiwa kumkata ili ajirudi katika Bid´ah yake.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath-ur-Rahiym al-Waduud, uk. 254
- Imechapishwa: 26/06/2020
Swali: Je, ipo tofauti katika kutangamana na wazushi ambaye amezusha kwa sababu ya kuelewa kimakosa na mzushi ambaye amezusha kwa sababu ya kufuata matamanio yake?
Jibu: Pasi na kujali mzushi amezusha kwa sababu ya kufahamu kimakosa na akadhani kuwa alivyoelewa ndio haki au hakuelewa kimakosa bali yeye anafuata tu kibubusa, ni lazima mtu amtambulishe mfasiri huyu kuwa amekosea. Akishatambulishwa kosa lake na akakataa kujirejea, basi atazingatiwa kuwa ni mwenye kunga´ng´ania Bid´ah yake. Kwa ajili hiyo itatakiwa kumkata ili ajirudi katika Bid´ah yake.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fath-ur-Rahiym al-Waduud, uk. 254
Imechapishwa: 26/06/2020
https://firqatunnajia.com/baada-ya-mzushi-kutambua-kosa-lake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)