Swali: Kulitokea tofauti kati yangu mimi na mume wangu na yeye yuko katika safari. Ninapotaka kumuomba idhini ya kutoka nawasiliana naye kwa kumtumia meseji ya simu lakini hanijibu. Nikitoka bila ya idhini yake nakuwa ni mwenye kupata dhambi pamoja na kujua kuwa safari yake ni ndefu?
Jibu: Ndio. Usitoke isipokuwa kwa idhini yake. Haitoshelezi kwa kule wewe kumjulisha tu, ni lazima atoe idhini. Isipokuwa tu kama kuna haja ya kidharurah unayohitajia wakati yeye anakuwa hayupo na wewe huna yeyote anayeweza kukusaidia kwa hilo, katika hali hii utatoka kiasi cha haja. Utatoka kutekeleza haja unayohitajia pamoja na kujisitiri, heshima na kufupisha wakati kiasi na itakavyowezekana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%204-13-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Kulitokea tofauti kati yangu mimi na mume wangu na yeye yuko katika safari. Ninapotaka kumuomba idhini ya kutoka nawasiliana naye kwa kumtumia meseji ya simu lakini hanijibu. Nikitoka bila ya idhini yake nakuwa ni mwenye kupata dhambi pamoja na kujua kuwa safari yake ni ndefu?
Jibu: Ndio. Usitoke isipokuwa kwa idhini yake. Haitoshelezi kwa kule wewe kumjulisha tu, ni lazima atoe idhini. Isipokuwa tu kama kuna haja ya kidharurah unayohitajia wakati yeye anakuwa hayupo na wewe huna yeyote anayeweza kukusaidia kwa hilo, katika hali hii utatoka kiasi cha haja. Utatoka kutekeleza haja unayohitajia pamoja na kujisitiri, heshima na kufupisha wakati kiasi na itakavyowezekana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%204-13-08-1433.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/baada-ya-kugombana-mume-hataki-kumpa-idhini-ya-kutoka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)