Swali: Kuna mtu amenunua ardhi na akanuia nafsini mwake kwamba ataiuza pale itapopanda thamani yake. Pengine akabaki nayo miaka kadhaa. Je, analazimika kuitolea zakaah ilihali hajaanza kuitafutia soko?
Jibu: Amekwishanuia kwamba ikipanda bei ataiuza. Hii ndio nia ya biashara. Kwa hivyo anatakiwa kuitolea zakaah kila mwaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 26/04/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)