Swali: ´Arshi na Kursiy vilikuwa wapi; juu ya ardhi au chini ya ardhi?
Jibu: Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaamini kuwa ´Arshi na Kursiy viko juu ya mbingu, mbingu iko juu ya ardhi imeizunguka.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/148)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: ´Arshi na Kursiy vilikuwa wapi; juu ya ardhi au chini ya ardhi?
Jibu: Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaamini kuwa ´Arshi na Kursiy viko juu ya mbingu, mbingu iko juu ya ardhi imeizunguka.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/148)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/arshi-na-kursiy-viko-ardhini-au-mbinguni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)