Swali: Je, ar-Rashiyd na al-Haafidhw ni katika Majina ya Allaah?
Jibu: Sijasikia haya. Kunasemwa ya kwamba Allaah ni Haafidhw.
فَاللَّـهُ خَيْرٌ حَافِظًا
“Basi Allaah ni Mbora wa wenye kuhifadhi.” (12:64)
اللَّـهُ حَفِيظٌ عَلَيْهِمْ
“Allaah ni Mhifadhi wao.” (42:06)
Kunasemwa kuwa Allaah ni Haafidhw. Ama kusema kuwa ni Jina sijui lolote kuhusu hilo.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
Swali: Je, ar-Rashiyd na al-Haafidhw ni katika Majina ya Allaah?
Jibu: Sijasikia haya. Kunasemwa ya kwamba Allaah ni Haafidhw.
فَاللَّـهُ خَيْرٌ حَافِظًا
“Basi Allaah ni Mbora wa wenye kuhifadhi.” (12:64)
اللَّـهُ حَفِيظٌ عَلَيْهِمْ
“Allaah ni Mhifadhi wao.” (42:06)
Kunasemwa kuwa Allaah ni Haafidhw. Ama kusema kuwa ni Jina sijui lolote kuhusu hilo.
Tarjama: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/ar-raashiyd-na-al-haafidhw-ni-majina-ya-allaah/