Swali: Je, kunatumiwa Hadiyth dhaifu katika ubora wa matendo?
Jibu: Haitumiwi. Wako ambao wamejuzisha kutumia Hadiyth dhaifu katika ubora wa matendo kwa sharti kadhaa. Miongoni mwa sharti hizo udhaifu usiwe mkubwa na jambo hilo liwe na msingi katika Shari´ah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 06/11/2021
Swali: Je, kunatumiwa Hadiyth dhaifu katika ubora wa matendo?
Jibu: Haitumiwi. Wako ambao wamejuzisha kutumia Hadiyth dhaifu katika ubora wa matendo kwa sharti kadhaa. Miongoni mwa sharti hizo udhaifu usiwe mkubwa na jambo hilo liwe na msingi katika Shari´ah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 06/11/2021
https://firqatunnajia.com/ar-raajihiy-kutumia-hadiyth-dhaifu-katika-ubora-wa-matendo/