´Aqiydah hii – yaani al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – katika msingi wa dini sio maalum kwa Ahnaaf. Bali ni kwa watu wote; Ahnaaf, Maalikiyyah, Shaafi´iyyah na Hanaabilah. Kufuata madhehebu fulani ni jambo linalohusiana na matawi ya Dini kama mfano wa hukumu za swalah, zakaah, swawm na hajj. Ama kuhusu ´Aqiydah na Tawhiyd ni jambo moja na hakuna tofauti.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (19/01)
- Imechapishwa: 07/06/2020
´Aqiydah hii – yaani al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – katika msingi wa dini sio maalum kwa Ahnaaf. Bali ni kwa watu wote; Ahnaaf, Maalikiyyah, Shaafi´iyyah na Hanaabilah. Kufuata madhehebu fulani ni jambo linalohusiana na matawi ya Dini kama mfano wa hukumu za swalah, zakaah, swawm na hajj. Ama kuhusu ´Aqiydah na Tawhiyd ni jambo moja na hakuna tofauti.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (19/01)
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/aqiydah-ya-madhehebu-mane-ni-moja-%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket