´Aqiydah hii – yaani al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – katika msingi wa dini sio maalum kwa Ahnaaf. Bali ni kwa watu wote; Ahnaaf, Maalikiyyah, Shaafi´iyyah na Hanaabilah. Kufuata madhehebu fulani ni jambo linalohusiana na matawi ya Dini kama mfano wa hukumu za swalah, zakaah, swawm na hajj. Ama kuhusu ´Aqiydah na Tawhiyd ni jambo moja na hakuna tofauti.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (19/01)
- Imechapishwa: 07/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)