Swali: Murji-ah wanasema:
”Hakuna dhambi inayodhuru pamoja na imani?”
Jibu: Hizi ni I´tiqaad batili katika hali zote. Lakini zinamtoa mtu nje ya Uislamu? Hili ndilo linalohitaji utafiti. Venginevyo maneno yao ni batili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25080/ما-صحة-وحكم-قول-لا-يضر-مع-الايمان-ذنب
- Imechapishwa: 31/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)