Swali: Yale anayowahi yule anayejiunga na imamu yanazingatiwa ni ya kwanza au ya mwisho?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba yale anayowahi katika swalah yanazingatiwa ndio ya kwanza na yale anayoyakidhi yanazingatiwa ndio ya mwisho. Akiwahi Rak´ah mbili za mwisho za Dhuhr na akaweza kusoma al-Faatihah na Suurah nyengine pamoja na imamu afanye hivo. Imamu akitoa Tasliym na yeye akasimama kukamilisha yaliyompita akomekee katika al-Faatihah peke yake. Kwa sababu yale anayolipa yanazingatiwa ndio ya mwisho katika swalah yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini yale mnayoyadiriki na kamilishe yale yaliyokupiteni.”[1]
[1] al-Bukhaariy na Muslim.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/448)
Swali: Yale anayowahi yule anayejiunga na imamu yanazingatiwa ni ya kwanza au ya mwisho?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba yale anayowahi katika swalah yanazingatiwa ndio ya kwanza na yale anayoyakidhi yanazingatiwa ndio ya mwisho. Akiwahi Rak´ah mbili za mwisho za Dhuhr na akaweza kusoma al-Faatihah na Suurah nyengine pamoja na imamu afanye hivo. Imamu akitoa Tasliym na yeye akasimama kukamilisha yaliyompita akomekee katika al-Faatihah peke yake. Kwa sababu yale anayolipa yanazingatiwa ndio ya mwisho katika swalah yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini yale mnayoyadiriki na kamilishe yale yaliyokupiteni.”[1]
[1] al-Bukhaariy na Muslim.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/448)
https://firqatunnajia.com/anayowahi-mswaliji-aliyechelewa-yanazingatiwa-ndio-ya-kwanza-au-ya-mwisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)