Swali: Mwenye kutubia na kumuasi Allaah anaweza kuwa walii miongoni mwa mawalii wa Allaah?
Jibu: Hili halina shaka. Akitubia tawbah sahihi na ya kweli Allaah anamsamehe na anakuwa walii wa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
- Imechapishwa: 30/11/2016
Swali: Mwenye kutubia na kumuasi Allaah anaweza kuwa walii miongoni mwa mawalii wa Allaah?
Jibu: Hili halina shaka. Akitubia tawbah sahihi na ya kweli Allaah anamsamehe na anakuwa walii wa Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
Imechapishwa: 30/11/2016
https://firqatunnajia.com/anayetubia-anaweza-kuwa-walii/