Swali: Mwenye kutubia na kumuasi Allaah anaweza kuwa walii miongoni mwa mawalii wa Allaah?
Jibu: Hili halina shaka. Akitubia tawbah sahihi na ya kweli Allaah anamsamehe na anakuwa walii wa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
- Imechapishwa: 30/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)