Masuala haya ni makubwa sana ambayo kunapewa mtihani kati ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na watu wa Bid´ah na wapotevu. Anayekanusha Allaah kuwa juu, basi huyu ni katika wapotevu na wapindaji. Bali kuna wanachuoni ambao wamemkufurisha mwenye kufanya hivo kwa sababu anapinga kitu kimechothibitishwa na dalili za Qur-aan na Sunnah. Kuna dalili nyingi sana juu ya hilo. Sifa ya ujuu ni sifa ilio wazi kabisa. Anayepinga ujuu ni mwangamivu na ametenda Bid´ah mbaya sana. Kunachelea juu yake akawa ni mwenye kumkufuru Allaah (Jalla wa ´Alaa).
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 70-71
- Imechapishwa: 27/08/2020
Masuala haya ni makubwa sana ambayo kunapewa mtihani kati ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na watu wa Bid´ah na wapotevu. Anayekanusha Allaah kuwa juu, basi huyu ni katika wapotevu na wapindaji. Bali kuna wanachuoni ambao wamemkufurisha mwenye kufanya hivo kwa sababu anapinga kitu kimechothibitishwa na dalili za Qur-aan na Sunnah. Kuna dalili nyingi sana juu ya hilo. Sifa ya ujuu ni sifa ilio wazi kabisa. Anayepinga ujuu ni mwangamivu na ametenda Bid´ah mbaya sana. Kunachelea juu yake akawa ni mwenye kumkufuru Allaah (Jalla wa ´Alaa).
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 70-71
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/anayepinga-ujuu-wa-allaah-ni-mwangamivu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)