Swali: Akifanya matabano wakati mtu anapohitajia anaondokewa na yale masharti ya wale watu 70.000?
Jibu: Udhahiri ni kwamba hapana vibaya, kwa sababu Mtume (Swalla Allâhu ´alayhi wa sallam) ameamrisha. Lakini vyema mtu ni kuacha kufanya hivo asipohitajia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24059/هل-يخرج-من-السبعين-الفا-من-استرقى-للحاجة
- Imechapishwa: 22/08/2024
Swali: Akifanya matabano wakati mtu anapohitajia anaondokewa na yale masharti ya wale watu 70.000?
Jibu: Udhahiri ni kwamba hapana vibaya, kwa sababu Mtume (Swalla Allâhu ´alayhi wa sallam) ameamrisha. Lakini vyema mtu ni kuacha kufanya hivo asipohitajia.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24059/هل-يخرج-من-السبعين-الفا-من-استرقى-للحاجة
Imechapishwa: 22/08/2024
https://firqatunnajia.com/anayepiga-chuku-wakati-wa-matabano-anatoka-katika-wale-70-000/