Swali: Vipi kuhusu mtu anayepapasa kwenye madirisha au milango ya msikiti Mtakatifu na kuamini kuwa hii ni ´ibaadah inayomkurubisha mbele ya Allaah?
Jibu: Hii ni Bid´ah. Akiwa na imani juu ya jambo hilo na akayaomba inakuwa shirki. Lakini kule kudhani tu kuwa ni ´ibaadah na kitendo chema ni Bid´ah. Anapaswa kufunzwa.
Swali: Je, anapaswa akaripiwe?
Jibu: Anapaswa kukemewa na kufundishwa kwamba ni Bid´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31470/ما-حكم-التمسك-بنوافذ-او-ابواب-الحرم
- Imechapishwa: 30/10/2025
Swali: Vipi kuhusu mtu anayepapasa kwenye madirisha au milango ya msikiti Mtakatifu na kuamini kuwa hii ni ´ibaadah inayomkurubisha mbele ya Allaah?
Jibu: Hii ni Bid´ah. Akiwa na imani juu ya jambo hilo na akayaomba inakuwa shirki. Lakini kule kudhani tu kuwa ni ´ibaadah na kitendo chema ni Bid´ah. Anapaswa kufunzwa.
Swali: Je, anapaswa akaripiwe?
Jibu: Anapaswa kukemewa na kufundishwa kwamba ni Bid´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31470/ما-حكم-التمسك-بنوافذ-او-ابواب-الحرم
Imechapishwa: 30/10/2025
https://firqatunnajia.com/anayepapasa-kwenye-madirisha-au-milango-ya-haram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
