Swali: Sifa za mnafiki tatu zikikusanyika kwa mtu zinampelekea katika unafiki mkubwa? Ni ipi maana ya Hadiyth inayosema kuwa hazikusanyiki kwa mtu isipokuwa anakuwa mnafiki safi kabisa?
Jibu: Haina maana kuwa anakuwa ni mnafiki mwenye unafiki mkubwa. Maana yake ni kwamba anakuwa ni mnafiki mwenye unafiki wa kimatendo na hali yake inakuwa khatari zaidi. Kwa sababu unafiki wa kimatendo unatofautiana pia. Kuna unafiki wa kimatendo mwepesi na mwingine khatari zaidi. Ukiwa mkubwa kwa mtu huenda ukampelekea katika unafiki mkubwa. Hakuna kheri yoyote katika unafiki sawa mkubwa au mdogo. Mtu asichukulie usahali kwa unafiki. Ukisikia kuwa kitendo fulani katika unafiki mdogo usiuchukulie usahali kwa sababu kwanza ni unafiki na pili unaweza kumpelekea mtu katika unafiki mkubwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2105
- Imechapishwa: 30/06/2020
Swali: Sifa za mnafiki tatu zikikusanyika kwa mtu zinampelekea katika unafiki mkubwa? Ni ipi maana ya Hadiyth inayosema kuwa hazikusanyiki kwa mtu isipokuwa anakuwa mnafiki safi kabisa?
Jibu: Haina maana kuwa anakuwa ni mnafiki mwenye unafiki mkubwa. Maana yake ni kwamba anakuwa ni mnafiki mwenye unafiki wa kimatendo na hali yake inakuwa khatari zaidi. Kwa sababu unafiki wa kimatendo unatofautiana pia. Kuna unafiki wa kimatendo mwepesi na mwingine khatari zaidi. Ukiwa mkubwa kwa mtu huenda ukampelekea katika unafiki mkubwa. Hakuna kheri yoyote katika unafiki sawa mkubwa au mdogo. Mtu asichukulie usahali kwa unafiki. Ukisikia kuwa kitendo fulani katika unafiki mdogo usiuchukulie usahali kwa sababu kwanza ni unafiki na pili unaweza kumpelekea mtu katika unafiki mkubwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2105
Imechapishwa: 30/06/2020
https://firqatunnajia.com/anayekusanya-sifa-za-unafiki-wa-kimatendo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)