Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuhukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote isipokuwa mambo ya ndoa, talaka na mirathi?
Jibu: Tumetangulia kusema kuhusu hili. Tumesema kuwa akihukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote, huyu amebadili Dini. Mwenye kubadili Dini amekufuru. Wanachuoni wengine wakasema ni lazika kwanza kumsimamishia hoja kwa kuwa anaweza kuwa na shubuha na anaweza kuwa ni mjinga.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4745
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuhukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote isipokuwa mambo ya ndoa, talaka na mirathi?
Jibu: Tumetangulia kusema kuhusu hili. Tumesema kuwa akihukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote, huyu amebadili Dini. Mwenye kubadili Dini amekufuru. Wanachuoni wengine wakasema ni lazika kwanza kumsimamishia hoja kwa kuwa anaweza kuwa na shubuha na anaweza kuwa ni mjinga.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4745
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/anayehukumu-kwa-kanuni-katika-mambo-yote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)