Swali: Qur-aan ikifanyiwa tarjama kwa lugha moja wapo ya watu. Je, watu hao wamesimamiwa na hoja?
Jibu: Ndio, wakifikiwa na maana ya Qur-aan. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.”[1]
Anayefikiwa na Qur-aan amesimamikiwa na hoja.
[1] 06:19
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://shrajhi.com.sa/
- Imechapishwa: 31/01/2020
Swali: Qur-aan ikifanyiwa tarjama kwa lugha moja wapo ya watu. Je, watu hao wamesimamiwa na hoja?
Jibu: Ndio, wakifikiwa na maana ya Qur-aan. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.”[1]
Anayefikiwa na Qur-aan amesimamikiwa na hoja.
[1] 06:19
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://shrajhi.com.sa/
Imechapishwa: 31/01/2020
https://firqatunnajia.com/anayefikiwa-na-tajrama-ya-qur-aan-imemsimamikiwa-hoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket