Swali: Malengo ya kutia nia wakati wa kutawadha kunakusudiwa kwamba mtu anuie kuswali swalah maalum?
Jibu: Hapana, sio lazima unuie swalah maalum. Tawadha kwa ajili ya kuondosha hadathi, sawa ikiwa utaswali au hautoswali.
Swali: Nikitawadha kwa nia ya kuswali swalah moja kisha kwa wudhuu´ huo huo nikaswali swalah tano ni sawa?
Jibu: Unaweza hata ukaswali nao swalah mia. Haina neno. Ukiondosha hadathi na wudhuu´ bado umebaki na haujatenguka swali upendavyo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Malengo ya kutia nia wakati wa kutawadha kunakusudiwa kwamba mtu anuie kuswali swalah maalum?
Jibu: Hapana, sio lazima unuie swalah maalum. Tawadha kwa ajili ya kuondosha hadathi, sawa ikiwa utaswali au hautoswali.
Swali: Nikitawadha kwa nia ya kuswali swalah moja kisha kwa wudhuu´ huo huo nikaswali swalah tano ni sawa?
Jibu: Unaweza hata ukaswali nao swalah mia. Haina neno. Ukiondosha hadathi na wudhuu´ bado umebaki na haujatenguka swali upendavyo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/anaweza-kuswali-swalah-tano-kwa-wudhuu-aliyonuia-swalah-moja/