Swali: Mmoja wa wafanyao hisani amenipa mali ili nitoe swadaqah kwa niaba yake. Je, inafaa kwangu kuichukua mali hiyo badala ya mtu mwenye dhiki ambaye ana madeni na hawezi kuyatekeleza?
Jibu: Huna ruhusa kufanya hivyo. Bali unatakiwa kuitumia kwa namna ambayo aliyetoa swadaqah amekuwakilisha kufanya hivyo, kwa sababu kufanya hivyo kuna maslahi yako binafsi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
- Imechapishwa: 19/09/2026
Swali: Mmoja wa wafanyao hisani amenipa mali ili nitoe swadaqah kwa niaba yake. Je, inafaa kwangu kuichukua mali hiyo badala ya mtu mwenye dhiki ambaye ana madeni na hawezi kuyatekeleza?
Jibu: Huna ruhusa kufanya hivyo. Bali unatakiwa kuitumia kwa namna ambayo aliyetoa swadaqah amekuwakilisha kufanya hivyo, kwa sababu kufanya hivyo kuna maslahi yako binafsi.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
Imechapishwa: 19/09/2026
https://firqatunnajia.com/anataka-kutumia-mali-aliyopewa-aitoe-swadaqah/