Swali: Ni ipi hekima ya kufunga siku za jumatatu na alkhamisi?
Jibu: Kwa sababu ni siku mbili ambazo matendo huwasilishwa kwa Allaah, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa kuhusu kufunga siku hizo:
”Hakika ni siku mbili ambazo matendo huwasilishwa kwa Allaah. Hivyo basi napenda matendo yangu yawasilishwe nikiwa nimefunga.”
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
- Imechapishwa: 19/09/2026
Swali: Ni ipi hekima ya kufunga siku za jumatatu na alkhamisi?
Jibu: Kwa sababu ni siku mbili ambazo matendo huwasilishwa kwa Allaah, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa kuhusu kufunga siku hizo:
”Hakika ni siku mbili ambazo matendo huwasilishwa kwa Allaah. Hivyo basi napenda matendo yangu yawasilishwe nikiwa nimefunga.”
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
Imechapishwa: 19/09/2026
https://firqatunnajia.com/hekima-ya-kufunga-jumatatu-na-alkhamisi/