Swali: Mtu anashirikiana na mabenki ya ribaa na alipoulizwa kwa nini anashirikiana na mabenki hayo akasema kwamba yeye hachukui faida za ribaa.
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wale wanaokula ribaa, wanaowahusisha nayo, waandishi wake na mashahidi wake na akasema:
“Wote hawa ni sawa.”
Hivyo kushirikiana na wale wanaoshughulika na ribaa au kufanya biashara nayo haijuzu, kwa sababu Allaah amesmea:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَى
“Shirikianeni katika wema na uchaji Allaah.”[1]
Kwa hiyo muislamu haipaswi kushiriki katika biashara zinazohusisha ribaa.
[1] 05:02
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2425/حكم-من-يتعامل-مع-البنوك-الربوية-دون-اخذ-الفاىدة
- Imechapishwa: 09/01/2026
Swali: Mtu anashirikiana na mabenki ya ribaa na alipoulizwa kwa nini anashirikiana na mabenki hayo akasema kwamba yeye hachukui faida za ribaa.
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wale wanaokula ribaa, wanaowahusisha nayo, waandishi wake na mashahidi wake na akasema:
“Wote hawa ni sawa.”
Hivyo kushirikiana na wale wanaoshughulika na ribaa au kufanya biashara nayo haijuzu, kwa sababu Allaah amesmea:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَى
“Shirikianeni katika wema na uchaji Allaah.”[1]
Kwa hiyo muislamu haipaswi kushiriki katika biashara zinazohusisha ribaa.
[1] 05:02
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2425/حكم-من-يتعامل-مع-البنوك-الربوية-دون-اخذ-الفاىدة
Imechapishwa: 09/01/2026
https://firqatunnajia.com/anashirikiana-na-mabenki-ya-ribaa-kwa-hoja-eti-hachukui-faida/