248 – Nikamuuliza kuhusu kitendo cha baadhi ya watu wanaoswali nyumbani na wanamuona imamu?
Jibu: Haijuzu. Hapaswi kukosa swalah ya mkusanyiko. Kama yuko peke yake aswali peke yake. Ikiwa yuko pamoja na kundi, basi swalah inasihi licha ya kwamba anapata dhambi, kwa sababu ya kukosa swalah ya mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 96
- Imechapishwa: 09/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket