248 – Nikamuuliza kuhusu kitendo cha baadhi ya watu wanaoswali nyumbani na wanamuona imamu?
Jibu: Haijuzu. Hapaswi kukosa swalah ya mkusanyiko. Kama yuko peke yake aswali peke yake. Ikiwa yuko pamoja na kundi, basi swalah inasihi licha ya kwamba anapata dhambi, kwa sababu ya kukosa swalah ya mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 96
- Imechapishwa: 09/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
248 – Nikamuuliza kuhusu kitendo cha baadhi ya watu wanaoswali nyumbani na wanamuona imamu?
Jibu: Haijuzu. Hapaswi kukosa swalah ya mkusanyiko. Kama yuko peke yake aswali peke yake. Ikiwa yuko pamoja na kundi, basi swalah inasihi licha ya kwamba anapata dhambi, kwa sababu ya kukosa swalah ya mkusanyiko.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 96
Imechapishwa: 09/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/anamfuata-imamu-katika-swalah-akiwa-nyumbani-kwake/