Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kufanya mzaha na dini kwa sababu ya kutaka kuwachekesha watu?
Jibu: Hukumu yake ni kuwa ni kafiri. Ni mamoja awe amekusudia kweli, anafanya mchezo au anawachekesha tu. Amekufuru baada ya kuamini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 141
- Imechapishwa: 25/12/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kufanya mzaha na dini kwa sababu ya kutaka kuwachekesha watu?
Jibu: Hukumu yake ni kuwa ni kafiri. Ni mamoja awe amekusudia kweli, anafanya mchezo au anawachekesha tu. Amekufuru baada ya kuamini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 141
Imechapishwa: 25/12/2018
https://firqatunnajia.com/anakufuru-anayefanya-mzaha-na-dini-kwa-sababu-ya-kuchekesha-watu/