Swali: Kuna mtu aliacha anausiwa apewe mirathi ya mtu lakini hakuikubali?
Jibu: Akikataa inarudi kwa waridhi.
Swali: Inarudi kwa warithi au katika wizara ya fedha ya waislamu?
Jibu: Hapana, inarudi kwa warithi. Warithi wa ambaye aliacha anausia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22213/حكم-الوصية-اذا-لم-يقبلها-الموصى-له
- Imechapishwa: 12/11/2022
Swali: Kuna mtu aliacha anausiwa apewe mirathi ya mtu lakini hakuikubali?
Jibu: Akikataa inarudi kwa waridhi.
Swali: Inarudi kwa warithi au katika wizara ya fedha ya waislamu?
Jibu: Hapana, inarudi kwa warithi. Warithi wa ambaye aliacha anausia.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22213/حكم-الوصية-اذا-لم-يقبلها-الموصى-له
Imechapishwa: 12/11/2022
https://firqatunnajia.com/anakataa-mirathi-aliyoacha-anausiwa/