Swali: Baadhi ya watu wanafuga nywele za kichwani na wananyoa ndevu zao.
Jibu: Kufuga ni kitu kimoja na kunyoa ndevu ni kitu kingine. Kunyoa ndevu ni haramu. Kufuga nywele za kichwani ni jambo linalofaa na sio haramu. Sio jambo Shari´ah iliokokotezwa. Lakini kunyoa ndevu ni haramu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24105/حكم-من-يربي-شعر-راسه-ويحلق-لحيته
- Imechapishwa: 29/08/2024
Swali: Baadhi ya watu wanafuga nywele za kichwani na wananyoa ndevu zao.
Jibu: Kufuga ni kitu kimoja na kunyoa ndevu ni kitu kingine. Kunyoa ndevu ni haramu. Kufuga nywele za kichwani ni jambo linalofaa na sio haramu. Sio jambo Shari´ah iliokokotezwa. Lakini kunyoa ndevu ni haramu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24105/حكم-من-يربي-شعر-راسه-ويحلق-لحيته
Imechapishwa: 29/08/2024
https://firqatunnajia.com/anafuga-nywele-za-kichwa-na-kunyoa-ndevu/