Swali: Huenda hospitalini mara nyingi na humfunulia uso wangu daktari. Lakini situmii dawa anayonipa. Je, nina dhambi?
Jibu: Haijuzu kwake kwenda kwa daktari na akafunua uso mbele yake. Midhali humweleza dawa na haitumii, faida iko wapi? Lakini akiwa na haja ya kweli hakuna neno akamfunulia uso wake daktari juu ya yale anayohitajia kutazama. Kwa sharti asiwe naye faragha. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanaume asikae faragha na mwanamke isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (68) http://binothaimeen.net/content/1536
- Imechapishwa: 17/02/2020
Swali: Huenda hospitalini mara nyingi na humfunulia uso wangu daktari. Lakini situmii dawa anayonipa. Je, nina dhambi?
Jibu: Haijuzu kwake kwenda kwa daktari na akafunua uso mbele yake. Midhali humweleza dawa na haitumii, faida iko wapi? Lakini akiwa na haja ya kweli hakuna neno akamfunulia uso wake daktari juu ya yale anayohitajia kutazama. Kwa sharti asiwe naye faragha. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanaume asikae faragha na mwanamke isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (68) http://binothaimeen.net/content/1536
Imechapishwa: 17/02/2020
https://firqatunnajia.com/anaenda-mara-nyingi-kwa-daktari-na-kumfunulia-uso-lakini-hatumii-dawa-anazoelekezwa/