Swali: Mwenye kumwingilia mke wake kwenye tupu yake ya nyuma kisha akatubia juu ya hilo amtaliki au amwache?
Jibu: Tawbah inafuta yaliyotangulia. Akitubia tawbah ya kweli na akaacha mchezo huu mbaya, Allaah anamsamehe na mke wake haachiki kwa jambo hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 03/07/2024
Swali: Mwenye kumwingilia mke wake kwenye tupu yake ya nyuma kisha akatubia juu ya hilo amtaliki au amwache?
Jibu: Tawbah inafuta yaliyotangulia. Akitubia tawbah ya kweli na akaacha mchezo huu mbaya, Allaah anamsamehe na mke wake haachiki kwa jambo hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 03/07/2024
https://firqatunnajia.com/anaachika-aliyemwingilia-mkewe-kinyume-na-maumbile/