Swali: Ni ipi hukumu ya kunyoa sehemu ya kichwa na kuacha sehemu nyingine?
Jibu: Wanazuoni wanaona kuwa inachukiza. Hata hivyo msingi wa makatazo ni uharamu. Huu ndio msingi. an-Nawawiy ametaja kuwa wanazuoni wanaona kuwa inachukiza. Lakini mtu anaweza kuhoja ni kipi kilichogeuza?
Jibu: Je, kuna dalili inayosema kwamba kisogo ni katika matendo ya waabudia moto?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. Inatosha kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza jambo hilo. Inatosha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24107/حكم-القزع-حلق-بعض-الراس-وترك-بعضه
- Imechapishwa: 31/08/2024
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyoa sehemu ya kichwa na kuacha sehemu nyingine?
Jibu: Wanazuoni wanaona kuwa inachukiza. Hata hivyo msingi wa makatazo ni uharamu. Huu ndio msingi. an-Nawawiy ametaja kuwa wanazuoni wanaona kuwa inachukiza. Lakini mtu anaweza kuhoja ni kipi kilichogeuza?
Jibu: Je, kuna dalili inayosema kwamba kisogo ni katika matendo ya waabudia moto?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. Inatosha kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza jambo hilo. Inatosha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24107/حكم-القزع-حلق-بعض-الراس-وترك-بعضه
Imechapishwa: 31/08/2024
https://firqatunnajia.com/an-nawawiy-kuhusu-kunyoa-sehemu-ya-kichwa-na-kuacha-sehemu-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket