Madhehebu yetu [sisi Shaafi´iyyah] ni kwamba mtu mwenye janaba na mwenye hedhi wakifa basi wanaoshwa josho moja tu. Hayo ndio maoni ya wanachuoni wengi isipokuwa al-Hasan al-Baswriy ambaye ameonelea kuwa anatakiwa kuoshwa josho mbili. Ibn-ul-Mundhiriy amesema:
“Hakuna zaidi yake aliyeonelea hivo.”
- Muhusika: Imaam Yahyaa bin Sharaf an-Nawawiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Muhadhdhab (05/123)
- Imechapishwa: 24/01/2019
Madhehebu yetu [sisi Shaafi´iyyah] ni kwamba mtu mwenye janaba na mwenye hedhi wakifa basi wanaoshwa josho moja tu. Hayo ndio maoni ya wanachuoni wengi isipokuwa al-Hasan al-Baswriy ambaye ameonelea kuwa anatakiwa kuoshwa josho mbili. Ibn-ul-Mundhiriy amesema:
“Hakuna zaidi yake aliyeonelea hivo.”
Muhusika: Imaam Yahyaa bin Sharaf an-Nawawiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Muhadhdhab (05/123)
Imechapishwa: 24/01/2019
https://firqatunnajia.com/an-nawawiy-kuhusu-aliyekufa-akiwa-na-hedhi-na-janaba/