Swali: Wanandoa wakiandikiana sharti wakati wa kufunga ndoa ambapo mke akamshurutisha kutomzuia kumwekea mfanya kazi wa kike. Baada ya hapo mume akaenda kinyume na sharti hiyo. Ni ipi hukumu?
Jibu: Ni haramu kufanya hivo. Waislamu wanatakiwa kutekeleza sharti zao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 29/11/2020
Swali: Wanandoa wakiandikiana sharti wakati wa kufunga ndoa ambapo mke akamshurutisha kutomzuia kumwekea mfanya kazi wa kike. Baada ya hapo mume akaenda kinyume na sharti hiyo. Ni ipi hukumu?
Jibu: Ni haramu kufanya hivo. Waislamu wanatakiwa kutekeleza sharti zao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 29/11/2020
https://firqatunnajia.com/amgeuka-kumuwekea-mfanyakazi-wa-kike/