Swali 631: Ni ipi hukumu ya mwenye kuweka nadhiri ya kutoa swadaqah mali yake yote?
Jibu: Inatosha kutoa theluthi yake kutokana na Hadiyth ya Abu Lubaabah:
“Theluthi moja inakutosheleza.”
Vilevile kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika Hadiyth ya Sa’d (Radhiya Allaahu ´anh):
“Theluthi ni nyingi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 224
- Imechapishwa: 15/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 631: Ni ipi hukumu ya mwenye kuweka nadhiri ya kutoa swadaqah mali yake yote?
Jibu: Inatosha kutoa theluthi yake kutokana na Hadiyth ya Abu Lubaabah:
“Theluthi moja inakutosheleza.”
Vilevile kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika Hadiyth ya Sa’d (Radhiya Allaahu ´anh):
“Theluthi ni nyingi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 224
Imechapishwa: 15/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ameweka-nadhiri-ya-kutoa-swadaqah-mali-yake-yote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
