Swali 632: Je, ikiwa mtu ataweka nadhiri ya kutenda dhambi kisha akafa kabla ya kuitekeleza – je, inasuniwa kwa msimamizi wake kumtolea kafara?
Jibu: Dhahiri ni kwamba hakuna kinachompasa, kwa sababu maiti huyo hakufanya kile alichokitilia nadhiri. Bali amesalimika kutokana na shari yake na hivyo hakuna kafara yoyote.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 224
- Imechapishwa: 15/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 632: Je, ikiwa mtu ataweka nadhiri ya kutenda dhambi kisha akafa kabla ya kuitekeleza – je, inasuniwa kwa msimamizi wake kumtolea kafara?
Jibu: Dhahiri ni kwamba hakuna kinachompasa, kwa sababu maiti huyo hakufanya kile alichokitilia nadhiri. Bali amesalimika kutokana na shari yake na hivyo hakuna kafara yoyote.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 224
Imechapishwa: 15/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/maiti-ameweka-nadhiri-ya-maasi-akafa-kabla-ya-kuitekeleza/