Swali: Je, anayeswali peke yake alipe Rak´ah nyinine au asujudu sijda ya kusahau endapo atakuwa na shaka kama amesoma al-Faatihah au hakusoma?
Jibu: Akitilia shaka mswaliji juu ya usomaji wa al-Faatihah ni kana kwamba hakuisoma. Akitilia shaka ya kuacha Rukuu´, Sujuud au kisomo [cha al-Faatihah] basi ni kana kwamba hakuifanya. Katika hali hiyo atatakiwa kuitekeleza. Isipokuwa akiwa ni mtu mwenye wasiwasi. Hivyo atatakiwa kutupilia mbali shaka hiyo. Ama akiwa ni mtu wa kawaida na si mwenye wasiwasi mara nyingi, akitilia shaka juu ya kuacha nguzo ni kama vile ameiacha na hivyo ni atatakiwa kuileta.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 08/06/2021
Swali: Je, anayeswali peke yake alipe Rak´ah nyinine au asujudu sijda ya kusahau endapo atakuwa na shaka kama amesoma al-Faatihah au hakusoma?
Jibu: Akitilia shaka mswaliji juu ya usomaji wa al-Faatihah ni kana kwamba hakuisoma. Akitilia shaka ya kuacha Rukuu´, Sujuud au kisomo [cha al-Faatihah] basi ni kana kwamba hakuifanya. Katika hali hiyo atatakiwa kuitekeleza. Isipokuwa akiwa ni mtu mwenye wasiwasi. Hivyo atatakiwa kutupilia mbali shaka hiyo. Ama akiwa ni mtu wa kawaida na si mwenye wasiwasi mara nyingi, akitilia shaka juu ya kuacha nguzo ni kama vile ameiacha na hivyo ni atatakiwa kuileta.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 08/06/2021
https://firqatunnajia.com/ametia-shaka-juu-ya-kuacha-nguzo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)