Swali: Ni ipi hukumu ambaye anaswali kuliani kwa imamu ilihali safu hazikamilika?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Lakini haitakikani kwake kufanya jambo hilo. Anatakiwa kuswali nyuma ya imamu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 21/03/2021
Swali: Ni ipi hukumu ambaye anaswali kuliani kwa imamu ilihali safu hazikamilika?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Lakini haitakikani kwake kufanya jambo hilo. Anatakiwa kuswali nyuma ya imamu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 21/03/2021
https://firqatunnajia.com/ameswali-pambizoni-mwa-imamu-ilihali-safu-hazikamilika/