Swali 633: Vipi ikiwa muislamu ameshindwa kutimiza nadhiri ya kufunga?
Jibu: Swawm hiyo inachukua mkondo kama wa swawm ya faradhi. Kwa maana ya kwamba atalisha chakula. Ikiwa nadhiri yake haikuwa swawm na akashindwa kuitekeleza, basi inadondoka. Ibn ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Atatoa kafara ya kiapo.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
- Imechapishwa: 15/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 633: Vipi ikiwa muislamu ameshindwa kutimiza nadhiri ya kufunga?
Jibu: Swawm hiyo inachukua mkondo kama wa swawm ya faradhi. Kwa maana ya kwamba atalisha chakula. Ikiwa nadhiri yake haikuwa swawm na akashindwa kuitekeleza, basi inadondoka. Ibn ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Atatoa kafara ya kiapo.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
Imechapishwa: 15/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ameshindwa-kutekeleza-nadhiri-ya-funga/