Swali: Maneno ya Ibn ´Abbaas mwanzoni mwa mlango kuhusu mwenye kuacha kusema ”Bismillaah” kwa kusahau…
Jibu: Ndio, hivo ndivo wanavoona kikosi cha wanazuoni kama vile maafikiano… Ibn Jariyr amesimulia maafikiano ya wanazuoni:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Ni kama alivosema al-Bukhaariy (Rahimahu Allaah) kwamba mwenye kuacha Tasmiyah sio fasiki. Maoni yanayosema kuwa mnyama anakuwa haramu ni dhaifu.
Swali: Vipi ikiwa mnyama hatikisiki isipokuwa jicho tu?
Jibu: Muhimu ni kwamba ni lazima kuhakikishwe kuwa mnyama yuko hai.
[1] 02:286
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24011/ما-حكم-ذبيحة-من-ترك-التسمية-ناسيا
- Imechapishwa: 17/08/2024
Swali: Maneno ya Ibn ´Abbaas mwanzoni mwa mlango kuhusu mwenye kuacha kusema ”Bismillaah” kwa kusahau…
Jibu: Ndio, hivo ndivo wanavoona kikosi cha wanazuoni kama vile maafikiano… Ibn Jariyr amesimulia maafikiano ya wanazuoni:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Ni kama alivosema al-Bukhaariy (Rahimahu Allaah) kwamba mwenye kuacha Tasmiyah sio fasiki. Maoni yanayosema kuwa mnyama anakuwa haramu ni dhaifu.
Swali: Vipi ikiwa mnyama hatikisiki isipokuwa jicho tu?
Jibu: Muhimu ni kwamba ni lazima kuhakikishwe kuwa mnyama yuko hai.
[1] 02:286
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24011/ما-حكم-ذبيحة-من-ترك-التسمية-ناسيا
Imechapishwa: 17/08/2024
https://firqatunnajia.com/amesahau-tasmiyah-wakati-wa-kuchinja/