Swali: Je, kuna kinachomlazimu yule ambaye amesahau sujudu ya kusahau?
Jibu: Fuqahaa´ wengi wanaona kwamba kukishapita muda mrefu au mtu akapatwa na hadathi basi sujudu inaanguka. Lakini bora zaidi ni punde tu atapokumbuka basi asujudu sijda mbili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 05/05/2019
Swali: Je, kuna kinachomlazimu yule ambaye amesahau sujudu ya kusahau?
Jibu: Fuqahaa´ wengi wanaona kwamba kukishapita muda mrefu au mtu akapatwa na hadathi basi sujudu inaanguka. Lakini bora zaidi ni punde tu atapokumbuka basi asujudu sijda mbili.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 05/05/2019
https://firqatunnajia.com/amesahau-kusujudu-sijda-ya-kusahau/