Swali: Mtu huyu alikuwa akiswali swalah ya mkusanyiko na imamu aliposujudu akajiliwa na wasiwasi mkubwa ambapo akaomba kinga kwa Allaah dhidi ya shaytwaan mara nyingi mpaka akasahau kuleta Tasbiyh iliyozoeleka mpaka imamu akainuka.
Jibu: Maadamu amesahau na ni mjinga hakuna kinachomlazimu.
Swali: Je, Rak´ah yake hiyo ni sahihi?
Jibu: Ndio, kwa sababu ya ujinga na kusahau.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22208/حكم-من-جاءه-وسواس-بالصلاة-فلم-يسبح
- Imechapishwa: 11/11/2022
Swali: Mtu huyu alikuwa akiswali swalah ya mkusanyiko na imamu aliposujudu akajiliwa na wasiwasi mkubwa ambapo akaomba kinga kwa Allaah dhidi ya shaytwaan mara nyingi mpaka akasahau kuleta Tasbiyh iliyozoeleka mpaka imamu akainuka.
Jibu: Maadamu amesahau na ni mjinga hakuna kinachomlazimu.
Swali: Je, Rak´ah yake hiyo ni sahihi?
Jibu: Ndio, kwa sababu ya ujinga na kusahau.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22208/حكم-من-جاءه-وسواس-بالصلاة-فلم-يسبح
Imechapishwa: 11/11/2022
https://firqatunnajia.com/amesahau-kuleta-dhikr-ya-kwenye-sujuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)