Swali: Kuna mtu alichukulia wepesi suala la kutoa zakaah kwa miaka mingi. Hivi sasa baada ya kutubia analazimika kutoa ile miaka iliyompita au inatosha kutubia?
Jibu: Hapana, tawbah haitoshi. Ni lazima kutoa zakaah. Ni wajibu kwake kutoa juu ya ile miaka iliyompita pamoja na kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 10/08/2018
Swali: Kuna mtu alichukulia wepesi suala la kutoa zakaah kwa miaka mingi. Hivi sasa baada ya kutubia analazimika kutoa ile miaka iliyompita au inatosha kutubia?
Jibu: Hapana, tawbah haitoshi. Ni lazima kutoa zakaah. Ni wajibu kwake kutoa juu ya ile miaka iliyompita pamoja na kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
Imechapishwa: 10/08/2018
https://firqatunnajia.com/amepuuza-kutoa-zakaah-kwa-miaka-mingi/